Sunday, May 19, 2013

Maelfu ya Wanachama Wa Chadema Wajitokeza Kwenye Uzinduzi Wa Kampeni Ya Udiwani Arusha


Picha juu ni Maelfu ya wananchama wa Chadema Wakiwa kwenye mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni za Udiwani Arusha Jana kwa ajili ya uchaguzi wa madiwani wa kata nne; Elerai, Kaloleni, Themi na Kimandolu ambazo madiwani wake walifukuzwa uanachama na chama hicho huku kikitamba kuwa hakina uchaguzi Arusha ila CCM ndio wenye uchaguzi.
 
“Arusha CHADEMA hatuna uchaguzi, sisi tuna ushindi ila CCM ndio wana uchaguzi,” alisema Godbless Lema, Mbunge wa Arusha Mjini aliyekuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa kampeni hizo.
Lema alitumia muda mwingi kunadi sera za CHADEMA na kuongeza kuwa madiwani waliofukuzwa ndani ya chama hicho, walipokea rushwa na katika kampeni zao kwenye kila kata, watatoa ushahidi jinsi walivyopokea rushwa.
Huku akishangiliwa na wananchi wa Arusha, Lema alimuonya Mkuu wa Mkoa wa Arusha na Mkuu wa Wilaya hiyo kujiepusha na kampeni na kutoa tahadhari kuwa wakibainika wanafanya kampeni itakuwa ni makosa makubwa kwao.Katika kampeni hizo.Picha na Habari na Chadema

Rais wa Zanzibar Dk.Shein Azinduwa Tawi la Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiwasili katika viwanja vya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Tawi la Zanzibar, akiongozana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo hicho Dk. Salim Ahmed Salim. kwa ajili ya uzinduzi wa Chuo hicho kilioko nje kidogo ya Mji wa Zanzibar Bububu.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiweka jiwe la Msingi la Jengo la Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Bububu Zanzibar, kulia Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo hicho Dk. Salim Ahmed Salim na kushoto Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif hamad.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia katika sherere za uzindizi wa Chuo cha Kumbkumbu ya Mwalimu Nyerere Bububu Zanzibar.

Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Dk. John Magotti, akitowa historia ya Chuo hicho kwa Rais wa Zanzibar katika sherere za ufunguzi wa Jengo la Chuo hicho huko Bububu Zanzibar.

Rais wa Zanzibar ma Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akimsikiliza Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Dk. John.Mogotti akihutubia na kutowamaelezo ya ujenzi wa jengo hilo.

Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Dk. Salim Ahmed Salim akizungumza katika uzinduzi huowa Jengo la Chuo hicho uliofanywa na Rais wa Zanzibar Dk. Shein.

MWENYEKITI wa Bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya MwalimNyerere Dk. Salim Ahmed Salim, akimkabidhi zawadi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, katikati Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad,

Kwa taswira zaidi endelea kutembelea ZanziNews

Rais wa Zanzibar Dk.Shein Azinduwa Tawi la Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiwasili katika viwanja vya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Tawi la Zanzibar, akiongozana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo hicho Dk. Salim Ahmed Salim. kwa ajili ya uzinduzi wa Chuo hicho kilioko nje kidogo ya Mji wa Zanzibar Bububu.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiweka jiwe la Msingi la Jengo la Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Bububu Zanzibar, kulia Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo hicho Dk. Salim Ahmed Salim na kushoto Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif hamad.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia katika sherere za uzindizi wa Chuo cha Kumbkumbu ya Mwalimu Nyerere Bububu Zanzibar.

Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Dk. John Magotti, akitowa historia ya Chuo hicho kwa Rais wa Zanzibar katika sherere za ufunguzi wa Jengo la Chuo hicho huko Bububu Zanzibar.

Rais wa Zanzibar ma Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akimsikiliza Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Dk. John.Mogotti akihutubia na kutowamaelezo ya ujenzi wa jengo hilo.

Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Dk. Salim Ahmed Salim akizungumza katika uzinduzi huowa Jengo la Chuo hicho uliofanywa na Rais wa Zanzibar Dk. Shein.

MWENYEKITI wa Bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya MwalimNyerere Dk. Salim Ahmed Salim, akimkabidhi zawadi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, katikati Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad,

Kwa taswira zaidi endelea kutembelea ZanziNews

Rais wa Zanzibar Dk.Shein Azinduwa Tawi la Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Zanzibar.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiwasili katika viwanja vya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Tawi la Zanzibar, akiongozana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo hicho Dk. Salim Ahmed Salim. kwa ajili ya uzinduzi wa Chuo hicho kilioko nje kidogo ya Mji wa Zanzibar Bububu.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiweka jiwe la Msingi la Jengo la Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Bububu Zanzibar, kulia Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo hicho Dk. Salim Ahmed Salim na kushoto Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif hamad.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia katika sherere za uzindizi wa Chuo cha Kumbkumbu ya Mwalimu Nyerere Bububu Zanzibar.

Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Dk. John Magotti, akitowa historia ya Chuo hicho kwa Rais wa Zanzibar katika sherere za ufunguzi wa Jengo la Chuo hicho huko Bububu Zanzibar.

Rais wa Zanzibar ma Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akimsikiliza Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Dk. John.Mogotti akihutubia na kutowamaelezo ya ujenzi wa jengo hilo.

Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Dk. Salim Ahmed Salim akizungumza katika uzinduzi huowa Jengo la Chuo hicho uliofanywa na Rais wa Zanzibar Dk. Shein.

MWENYEKITI wa Bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya MwalimNyerere Dk. Salim Ahmed Salim, akimkabidhi zawadi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, katikati Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad,

Kwa taswira zaidi endelea kutembelea ZanziNews

Rais wa Zanzibar Dk.Shein Azinduwa Tawi la Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Zanzibar.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiwasili katika viwanja vya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Tawi la Zanzibar, akiongozana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo hicho Dk. Salim Ahmed Salim. kwa ajili ya uzinduzi wa Chuo hicho kilioko nje kidogo ya Mji wa Zanzibar Bububu.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiweka jiwe la Msingi la Jengo la Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Bububu Zanzibar, kulia Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo hicho Dk. Salim Ahmed Salim na kushoto Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif hamad.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia katika sherere za uzindizi wa Chuo cha Kumbkumbu ya Mwalimu Nyerere Bububu Zanzibar.

Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Dk. John Magotti, akitowa historia ya Chuo hicho kwa Rais wa Zanzibar katika sherere za ufunguzi wa Jengo la Chuo hicho huko Bububu Zanzibar.

Rais wa Zanzibar ma Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akimsikiliza Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Dk. John.Mogotti akihutubia na kutowamaelezo ya ujenzi wa jengo hilo.

Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Dk. Salim Ahmed Salim akizungumza katika uzinduzi huowa Jengo la Chuo hicho uliofanywa na Rais wa Zanzibar Dk. Shein.

MWENYEKITI wa Bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya MwalimNyerere Dk. Salim Ahmed Salim, akimkabidhi zawadi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, katikati Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad,

Kwa taswira zaidi endelea kutembelea ZanziNews

MMILIKI WA JAMIIFORUMS NA NDUGU ZAKE WAPATA AJALI MBAYA


Mmoja wa waanzilishi na wamiliki wa Jamii Forums, Maxence Melo, amepata ajali ya gari katika barabara kuu iendayo Mwanza; kilometa chache kutoka Nzega mjini. 
Mwanzilishi mwenzie na msemaji wa Jamiiforums, Mike Mushi, amesema Maxence na ndugu yake ambaye naye alikuwepo kwenye ajali hiyo, walikimbizwa katika hospitali ya Rufani ya Bugando kwa matibabu na uchunguzi zaidi. 
Bw. Mushi amesema hali ya Maxence kwa sasa si mbaya sana. Haijaelezwa Bw. Maxence melo ameumia kiasi gani, ila taarifa zinasema kuwa ndugu yake amejeruhiwa vibaya .
Maxence na mwenzake walikua njiani kuelekea mkoani Kagera na gari walilokua wakisafiria (pichani) limeharibika vibaya.
Waanzilishi/wamiliki wa JamiiForums, Mike Mushi(kushoto) na Maxence Melo(mwenye koti) aliyepata ajali
Waanzilishi/wamiliki wa JamiiForums, Mike Mushi(kushoto) na Maxence Melo(mwenye koti) aliyepata ajali.Chanzo:mpekuziblog

TANZANIA DAIMA : UGAIDI WATIKISA DODOMA ,WAUMINI WAPEKULIWA MBELE YA JK KUSHUHUDIA KUSIMIKWA ASKOFU

DSC 0004 f935cPia unaweza kuzama ...http://Wwwmasterkif.blogspot.com

YANGA SC ILIVYOFANYA MAWILI KWA MPIGO LEO, KUISHIKISHA ADABU SIMBA SC NA KUPOKEA MWALI WAKE KISHUJAA TAIFA

Kigogo wa Yanga SC, Seif Ahmad 'Magari' akiwa amebeba Kombe na kushoto na Simon Msuva

Refa Martin Saanya kushoto akimdhibiti mshambuliaji wa Yanga, Didier Kavumbangu asipigane na beki wa Simba SC, Nassor Masoud 'Chollo' kulia mbele ya kocha wake, Mfaransa, Patrick Liewig wakati wa mchezo wa kufunga pazia la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Taia, Dar es Salaam jioni ya leo. Katika tukio hilo, refa aliumia na kutibiwa kwa dakika tatu. Yanga ilishinda mabao 2-0. 

Wachezaji wa Yanga na Kombe lao baada ya mechi

Haruna Chanongo kushoto akimtoka David Luhende

Chanongo akikokota mpira pembeni ya Luhende

Luhende na Chollo

Abadallah Seseme akijaribu kupasua katikati ya Athumani Iddi 'Chuji' na Frank Domayo

Mbwembwe za Mrisho Ngassa leo

Frank Domayo anakwenda na mpira

Mwinyi Kazimoto akimtoka Kevin Yondan

Haruna Chanongo akitafuta mbinu za kuwatoka Nadir Haroub 'Cannavaro' na Mbuyu Twite

Mwinyi Kazimoto anakwenda

Athumani Iddi 'Chuji' akimiliki mpira mbele ya Amri Kiemba

Yanga na shangwe za ubingwa

Chuji na Kiemba...

11 walioanza Simba SC leo

11 walioanza Yanga SC leo

Wachezaji wa Simba SC waliingia moja kwa moja na kwenda kuzunguka kibendera kisha kurejea chumbani kwao

Amepatia; Lakini matokeo tu, kwa mshindi amechemsha ilikuwa kinyume

Swaga za mashabiki wa Yanga SC

Ujumbe wa Ngassa

Ngassa mwingine alikuwa jukwaani

Yanga SC ina mashabiki hadi Wazungu

Shabiki

Rais wa TFF, Leodegar Tenga akimvalisha Medali Nahodha wa Yanga SC, Nadir Haroub 'Cannavaro'

Swaga za mashabiki wa Yanga SC

Kigogo wa Yanga SC, Seif Ahmad 'Magari' akiwa amebeba Kombe na kushoto na Simon Msuva

Ameopoa; Mwenyekiti wa kamati ya Ushindi Yanga SC, Abdallah Bin Kleb akiwa na shabiki wa Yanga aliyeigiza kama Mlezi wa Simba SC, Mama Rahma Al Kharoos maarufu kama Malkia wa Nyuki 

Wakili Said El Maamry akisalimiana na Ngassa

Refa Mrtin Saanya akiangalia saa yake mara baada ya kuinuka kutoka kutibiwa kabla ya kumaliza mpira

Refa Saanya hoi chini

Jopo la Madaktari likimuangalia refa Sanya baada ya kumtibu

Alitamani aingine uwanjani kucheza; Nahodha wa zamani wa Simba SC, Suleiman Matola jukwaani

Tenga akimvalisha Medali mtoto wa Haruna Niyonzima kwa niaba ya baba yake

Mzee El Maamry akimvalisha Medali Frank Domayo

Wauwaji; Tenga akimvalisha Medali, Hamisi Kiiza huku Didier Kavumbangu naye akijiandaa kuvalishwa

Kuna wakati Juma Kaseja aliumia na kutishia amani uwanjani, baada ya kuokoa shuti la mpira wa adhabu wa Nizar Khalfan. Kaseja alijaribu kudaka, lakini mpira ukampita na kugonga mwamba kisha ukarudi kumgonga kisogoni, ndipo akaanguka na kuonekana kama aliyepoteza fahamu. 

Didier Kavumbangu akitafuta mbinu za kumtoka Shomary Kapombe 

Didier Kavumbangu kulia na Haruna Niyonzima kushoto wakimdhibiti Mrisho Ngassa

Yanga na Kombe lao...raha iliyoje.Chanzo:Bin zubeiryblog